KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWALIMU JULIUS K. NYERERE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akisikiliza maelezo kuhusu majarida na machapisho mbalimbali wakati wa kongamano la kumbukizi ya kuzaliwa Muasisi wa Taifa Mwalimu JK, anayetoa Maelezo ni Mkufunzi Msaidizi huduma za Maktaba Kanyinyi Kimolo.